Search

KOSTENLOSE E-BOOKS UND HÖRBÜCHER

Der erste Brief des Johannes

Suaheli 15

Mfululizo wa Paul C. Jong Juu ya Ukuaji wa Kiroho Kitabu cha 4 - Waraka wa Kwanza wa Yohana (Ⅱ)

Rev. Paul C. Jong | ISBN 9788928239177 | Seiten 383

Laden Sie E-Books und Hörbücher KOSTENLOS herunter

Wählen Sie Ihr bevorzugtes Dateiformat und laden Sie es sicher auf Ihr Mobilgerät, PC oder Tablet herunter, um die Predigtsammlungen jederzeit und überall zu lesen und zu hören. Alle E-Books und Hörbücher sind völlig kostenlos.

Sie können das Hörbuch über den Player unten anhören. 🔻
Besitzen Sie ein Taschenbuch
Kaufen Sie ein Taschenbuch auf Amazon
Yaliyomo
 
Dibaji 

SURA YA 3
1. God Wetu Aliyekuja Kwetu Kwa Upendo wa Agape (1 Yohana 3:1-8) 
2. Ni Aina Ipi ya Dhambi Ambayo Hatupaswi Kuitenda 
3. Mbele za God? (1 Yohana 3:9-16) 
4. Yeye Anayezishika Amri za God Anakaa Ndani Yake (1 Yohana 3:17-24) 

SURA YA 4
1. Zijaribuni Roho Ikiwa Zinatokana na God (1 Yohana 4:1-6) 
2. Kuanzia Sasa na Kuendelea Tunapaswa Kuishi Vipi? (1 Yohana 4:7-13) 
3. Tunapaswa Kukaa Katika Upendo wa God (1 Yohana 4:16-21) 

SURA YA 5
1. Ni Ukweli Upi Unaotuweka Huru Toka Katika Dhambi Zetu Zote? (1 Yohana 5:1-4) 
2. Ni Nani Aliyezaliwa na God? (1 Yohana 5:4-8) 
3. Je, Tunaamini Nini? (1 Yohana 5:1-11) 
4. Ni Ukweli Upi Uliotukomboa Toka Katika Dhambi Zetu Zote? (1 Yohana 5:1-12) 
5. Ushahidi Thabiti Unaotuokoa Toka Katika Dhambi Zetu Zote (1 Yohana 5:8-13) 
6. Kama Ndugu Anafanya Dhambi Isiyoleteleza Mauti, Mwombe God Autunze Uhai Wake (1 Yohana 5:16-19) 
7. Yesu Ni God wa Kweli na Uzima wa Milele (1 Yohana 5:20) 
8. Ingawa Tunaweza Kuwa na Mapungufu Wakati Wote, Upendo wa God Mkamilifu Umetukomboa Toka Katika Dhambi za Ulimwengu (1 Yohana 5:1-21) 
 
 
Kama wewe ni Mkristo wa kweli, basi unapaswa kuufahamu upendo wa God kwa uhalisia kuliko kuufahamu kwa nadharia tu. Wale wanaomfahamu na kumwamini Yesu kuwa ni Mwokozi wao ni lazima waufahamu upendo wa God kwa uthabiti hasa kuhusiana na ondoleo la dhambi zao ambalo lilitimizwa kupitia Neno la injili ya maji na Roho. Ili tuweze kuufahamu upendo wa God kwa kina basi tunapaswa kuwa waamini tunaoamini katika injili hii ya kweli. Upendo wa God unajidhihirisha kwa kina na kwa uthabiti katika injili hii ya kweli. Kama tutaufahamu upendo wa God, basi ufahamu wetuni lazima utokane na upendo thabiti wa God kwetu sisi ambao umefunuliwa katika Ukweli wa injili ya maji na Roho. Ni hapo ndipo tunapoweza kuwaongoza wengine kuuendea upendo wa kweli wa God.
Mtume Yohana anashuhudia kuwa Yesu Kristo, aliyekuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho Mtakatifu, ni God Mwokozi mwenyewe. Kiini cha ushuhuda wake ni ule Ukweli wa ondoleo la dhambi, ambao unapatikana katika maji, damu, na Roho Mtakatifu.
Kama ilivyoandikwa katika Neno la God, maji yana maanisha ni ubatizo wa Yesu alioupokea toka kwa Yohana Mbatizaji, na damu ina maanisha ni hukumu ambayo Yesu aliipokea kwa ajili ya dhambi zetu zote. Pia, ushahidi wa wokovu wetu unajikita katika Roho Mtakatifu, maji, na damu (1 Yohana 5:8). Huduma za maji, damu, na Roho Mtakatifu ni za God na ambazo kwa hizo amewakomboa wenye dhambi toka katika dhambi zao zote.
Mehr

Bücher zu diesem Titel

The New Life Mission

Nehmen Sie an unserer Umfrage teil

Wie haben Sie von uns erfahren?