Search

KOSTENLOSE E-BOOKS UND HÖRBÜCHER

Das erste Buch Mose

Suaheli 23

Mahubiri juu ya Mwanzo (Ⅱ) - Anguko la Mwanadamu na Wokovu Kamili wa God

Rev. Paul C. Jong | ISBN 9788928261420 | Seiten 319

Laden Sie E-Books und Hörbücher KOSTENLOS herunter

Wählen Sie Ihr bevorzugtes Dateiformat und laden Sie es sicher auf Ihr Mobilgerät, PC oder Tablet herunter, um die Predigtsammlungen jederzeit und überall zu lesen und zu hören. Alle E-Books und Hörbücher sind völlig kostenlos.

Sie können das Hörbuch über den Player unten anhören. 🔻
Besitzen Sie ein Taschenbuch
Kaufen Sie ein Taschenbuch auf Amazon
Yaliyomo
 
Utangulizi 

SURA YA 2
1. Baraka Ambazo God Ametupatia Sisi (Mwanzo 2:1-3) 
2. Mawazo ya Wanadamu ni Kama Ukungu (Mwanzo 2:4-6) 
3. Tumekutana na Yesu Kristo Bwana Harusi Wetu (Mwanzo 2:21-25) 

SURA YA 3
1. Ukweli Haubadiliki, Bila Kujali ni Watu Wangapi Wanaweza Kuukana (Mwanzo 3:1-4) 
2. Dhambi Ilikuja Kuingia Katika Ulimwengu Huu (Mwanzo 3:1-6) 
3. Wapi Tunaweza Kuitegemea Imani Yetu? (Mwanzo 3:1-7) 
4. Nguvu ya Imani Katika God (Mwanzo 3:1-7) 
5. Tunaweza Kumshinda Shetani Kwa Imani ya Kweli (Mwanzo 3:1-7) 
6. Lazima Tushinde Njama za Shetani Kwa Kuamini Injili ya Kweli (Mwanzo 3:1-7) 
7. Siku Zote Tafuta Faida ya God Tu (Mwanzo 3:1-24) 
8. Dhambi Zetu Zimeoshwa Kwa Kuamini Injili Halisi (Mwanzo 3:8-10) 
9. Lazima Tuishi Kulingana na Matakwa ya Roho Mtakatifu (Mwanzo 3:8-17) 
10. Ni nini Kizuri Halisi na, Nini Kibaya Halisi? (Mwanzo 3:10-24) 
11. Utoaji Wa God (Mwanzo 3:13-24) 
12. Tunapaswa Kuishi Kupitia Nani? (Mwanzo 3:17-21) 
 
 
Katika Kitabu cha Mwanzo, kusudi ambalo God alituumbia linapatikana. Wakati wasanifu wanapobuni jengo au wasanii wanachora ramani, kwanza huchukua kazi ambayo ingekamilika akilini mwao kabla ya kuanza kufanya kazi kwenye mradi wao. Kama hivi, God wetu pia alikuwa na wokovu wa wanadamu akilini mwake hata kabla hajaumba mbingu na dunia, na aliwafanya Adamu na Hawa akiwa na kusudi hili akilini. Na God alihitaji kutuelezea uwanja wa Mbingu, ambao hauonekani kwa macho yetu ya mwili, kwa kuteka mfano wa uwanja wa dunia ambao tunaweza kuona na kuelewa.
Hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, God alitaka kuokoa wanadamu kikamilifu kwa kutoa injili ya maji na Roho kwa moyo wa kila mtu. Kwa hivyo ingawa wanadamu wote waliumbwa kutoka kwa mavumbi, lazima wajifunze na kujua Ukweli wa injili ya maji na Roho ili kunufaisha nafsi zao. Ikiwa watu wataendelea kuishi bila kujua utawala wa Mbingu, hawatapoteza tu vitu vya dunia, bali pia kila kitu kilicho cha Mbinguni.
Mehr
kostenloses gedrucktes Buch
Buch in den Warenkorb legen

Bücher zu diesem Titel

The New Life Mission

Nehmen Sie an unserer Umfrage teil

Wie haben Sie von uns erfahren?