Search

LIBROS IMPRESOS,
ELECTRÓNICOS Y EN AUDIO GRATIS

El Evangelio del agua y el Espíritu

Swahili 1

JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]

Rev. Paul C. Jong | ISBN 9788928261505 | Páginas 378

Descargue eBooks y audiolibros GRATIS

Elija su formato de archivo preferido y descárguelo de forma segura en su dispositivo móvil, PC o tableta para leer y escuchar las colecciones de sermones en cualquier momento y lugar. Todos los eBooks y audiolibros son completamente gratuitos.

Puede escuchar el audiolibro a través del reproductor de abajo. 🔻
Tenga un libro en rústica
Compre un libro en rústica en Amazon
YALIYOMO
 
Dibaji
Sehemu ya Kwanza—Mahubiri
1. Yatupasa Kwanza Kujua kuhusu Dhambi Zetu ili Kukombolewa (Marko 7:8-9, 20-23) — 19
2. Wanadamu Huzaliwa Wakiwa ni Wenye Dhambi (Marko 7:20-23) — 37
3. Ikiwa Tunafanya Mambo Kulingana na Law(Torati), Je, Inaweza Kutuokoa? (Luka 10:25-30) — 51
4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12) — 75
5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17) — 109
6. Yesu Kristo Alikuja kwa Maji, Damu, na Roho (1 Yohana 5:1-12) — 161
7. Ubatizo wa Yesu Ni Ishara ya Wokovu Kwa Wenye Dhambi (1 Petro 3:20-22) — 199
8. Injili ya Upatanisho Ulio Tele (Yohana 13:1-17) — 219
 
Sehemu ya Pili—Nyongeza
1. Shuhuda za Wokovu — 289
2. Maelezo ya Ziada — 309
3. Maswali na Majibu — 343
 
 
Somo kuu la kichwa hiki ni "kuzaliwa mara ya pili kwa Maji na Roho." Kina upekee kwenye mada hii. Kwa maneno mengine, kitabu hiki kinaeleza waziwazi maana ya kuzaliwa mara ya pili na jinsi ya kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho kwa mujibu wa Biblia. Maji yanaashiria ubatizo wa Yesu katika Mto Yordani na Biblia inaeleza kuwa dhambi zetu zote zilipitishwa kwenda kwa Yesu wakati alipobatizwa na Yohana Mbatizaji. Yohana Mbatizaji alikuwa mwakilishi wa wanadamu wote na mzao wa Haruni, Kuhani Mkuu. Haruni aliweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi wa Azazeli na kupitisha dhambi zote za mwaka za Waisraeli kwake katika Siku ya Upatanisho. Hii ilikuwa kivuli cha mambo mema yajayo. Ubatizo wa Yesu ni mfano wa kuweka mikono.
Yesu alibatizwa kwa njia ya kuwekwa mikono katika Yordani. Hivyo Yesu alizichukulia mbali dhambi zote za ulimwengu kupitia ubatizo Wake na akasulubiwa ili kulipa kwa ajili ya dhambi hizo. Lakini Wakristo wengi hawajui ni kwa nini Yesu alibatizwa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ubatizo wa Yesu ndio neno kuu la kitabu hiki na sehemu muhimu sana ya Injili ya Maji na Roho. Tunaweza kuzaliwa mara ya pili kwa kuamini tu ubatizo wa Yesu na Msalaba Wake.
Más
Libro Impreso Gratis
Agregar libros al Carrito
Reproductor de audiolibros

Libros relacionados con este título

The New Life Mission

Participe en nuestra encuesta

¿Cómo se enteró de nosotros?