Search

คำถามที่พบบ่อยเกี่ยวกับความเชื่อของคริสเตียน

เรื่องที่ 1 : การเกิดใหม่โดยน้ำและพระวิญญาณ

1-12. Ni ipi ilikuwa sadaka ya upatanisho wa dhambi za kila siku katika Agano la Kale?

Palikuwa na sadaka ya upatanisho wa dhambi za kila siku. Ili kuweza kupatanishwa kwa dhambi za kila siku, ilipasa mtu alete kati ya kondoo dume, kondoo jike, ng’ombe dume au njiwa mbele ya hema na kumwekea mikono juu yake ili kumtwika dhambi. Hii ilikuwa sadaka ya upatanisho iliyo amriwa kwa Sheria ya Mungu (Walawi 3:1-11)