Karena COVID-19 dan gangguan pada layanansuratinternasional, untuksementara kami menangguhkan ‘LayananCetakBuku Gratis kami’.
Dalam situasi ini, kami tidak dapat mengirimkan buku-buku tersebut kepada Anda saat ini. Berdoalah agar pandemi ini segera berakhir dan dimulainya kembali layanan pos.
Pokok 1: Tentang dilahirkan kembali dari air dan Roh
1-20. Lipi ni Kanisa la kweli la Mungu?
Kanisa la kweli la Mungu ni pale wenye haki, wale walio kombolewa na kutakaswa katika Kristo kwa kuamini ubatizo na damu ya Yesu, wanapo kusanyika na kumwabudu Mungu (1 Wakorintho 1:2). Kanisa la kweli la Mungu, kama ilivyoandikwa katika Waefeso 4:5 ni mahala ambapo washirika huamini katika “Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; Mungu mmoja na Bwana wa wote.”