Search

Perguntas Frequentes sobre a Fé Cristã

Assunto 1: Nascendo de Novo da água e do Espírito

1-20. Lipi ni Kanisa la kweli la Mungu?

Kanisa la kweli la Mungu ni pale wenye haki, wale walio kombolewa na kutakaswa katika Kristo kwa kuamini ubatizo na damu ya Yesu, wanapo kusanyika na kumwabudu Mungu (1 Wakorintho 1:2). Kanisa la kweli la Mungu, kama ilivyoandikwa katika Waefeso 4:5 ni mahala ambapo washirika huamini katika “Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; Mungu mmoja na Bwana wa wote.”