Search

关于基督教信仰的常见问题解答

话题1:重生于水和圣灵

1-2. Yesu ni Nani?

Kama ilivyo andikwa katika Mwanzo 1:3 na Yohana 1:1-3, Yeye ni Muumba, Mungu wa kweli, Mungu wa ulimwengu wote aliye okoa wenye dhambi toka dhambi za ulimwengu (Wafilipi 2:6, “ambaye yeye mwanzo alikuwa yu namna ya Mungu naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho,” John 1:2-3 “Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu, vyote vilifanyika kwa huyo, wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika”) Yesu ni Mungu Muumba, Bwana wa ulimwengu.
Ingawa hivyo, watu wengi hushuhudiwa kuokolewa kwa kutoamini juu ya upendo na wokovu wa Yesu aliyeshuka ulimwenguni katika mwili. Lakini wengi wamepokea wokovu, na kuwa watu wa Mungu na kupata uzima wa milele kwa Yesu. Wamekuwa wenye haki.