• 所有新生命宣教会 The New Life Mission 网站上的电子书和有声书均可免费下载
  • 探索以多种语言提供的全球性讲道
  • 查看我们已翻译成27种语言的网站
  • 第1卷新修订版已全新推出
Search

关于基督教信仰的常见问题解答

话题1:重生于水和圣灵

1-4. Je, yatupasa kumwamini Yesu?

Ndiyo, yatupasa kwa sababu ni Bwana wetu, aliye pekee wa haki, na kwa sababu ni mapenzi yake “kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo” (Matendo 4:12). Hakuna Mwokozi mwingine Yesu ndiye Mwokozi wetu wa pekee. Tutaweza kukombolewa na kuzaliwa upya pale tu tutakapo mwamini yeye. Kwa kuwa na imani kwake na ndipo tutaweza kwenda mbinguni na kupata uzima wa milele.
The New Life Mission

参加我们的调查

您是如何了解到我们的?