Search

рдирд┐рдирд┐рдГрд╢реБрд▓реНрдХ рдИ-рдкреБрд╕реНрддрдХреЗрдВ рдФрд░ рдСрдбрд┐рдпреЛрдмреБрдХ

рдкрд╛рдЦрдВрдбреА

рд╕реНрд╡рд╛рд╣рд┐рд▓реА  26

WALIOPOTOKA, NANI ALIYEFUATA DHAMBI YA YEROBOAMU (II)

Rev. Paul C. Jong | ISBN 9788928241538 | рдкреГрд╖реНрда 419

рдИ-рдмреБрдХреНрд╕ рдФрд░ рдСрдбрд┐рдпреЛрдмреБрдХреНрд╕ рдирд┐рдГрд╢реБрд▓реНрдХ рдбрд╛рдЙрдирд▓реЛрдб рдХрд░реЗрдВ

рдЕрдкрдирд╛ рдкрд╕рдВрджреАрджрд╛ рдлрд╝рд╛рдЗрд▓ рдлрд╝реЙрд░реНрдореЗрдЯ рдЪреБрдиреЗрдВ рдФрд░ рдЕрдкрдиреЗ рдореЛрдмрд╛рдЗрд▓ рдбрд┐рд╡рд╛рдЗрд╕, рдкреАрд╕реА рдпрд╛ рдЯреИрдмрд▓реЗрдЯ рдкрд░ рд╕реБрд░рдХреНрд╖рд┐рдд рд░реВрдк рд╕реЗ рдбрд╛рдЙрдирд▓реЛрдб рдХрд░реЗрдВ рддрд╛рдХрд┐ рдЖрдк рдХрд╣реАрдВ рднреА, рдХрднреА рднреА рдкреНрд░рд╡рдЪрди рд╕рдВрдЧреНрд░рд╣ рдкрдврд╝ рдФрд░ рд╕реБрди рд╕рдХреЗрдВред рд╕рднреА рдИ-рдмреБрдХреНрд╕ рдФрд░ рдСрдбрд┐рдпреЛрдмреБрдХреНрд╕ рдкреВрд░реА рддрд░рд╣ рд╕реЗ рдирд┐рдГрд╢реБрд▓реНрдХ рд╣реИрдВред

рдЖрдк рдиреАрдЪреЗ рджрд┐рдП рдЧрдП рдкреНрд▓реЗрдпрд░ рдХреЗ рдорд╛рдзреНрдпрдо рд╕реЗ рдСрдбрд┐рдпреЛрдмреБрдХ рд╕реБрди рд╕рдХрддреЗ рд╣реИрдВред ЁЯФ╗
рдПрдХ рдореБрджреНрд░рд┐рдд рдкреБрд╕реНрддрдХ рд░рдЦреЗрдВ
Amazon рдкрд░ рдПрдХ рдореБрджреНрд░рд┐рдд рдкреБрд╕реНрддрдХ рдЦрд░реАрджреЗрдВ
YALIYOMO
┬а
Utangulizi┬а
1. Je! Unajua Kuwa Kuabudu Sanamu ni Upotoshaji? (1 Wafalme 10:1-29)┬а
2. Laana ya┬аGod Juu ya Wapotoshaji (1 Wafalme 15:25-34)┬а
3. Wapotoshaji wa Leo Ambao ni Kama Mfalme Ahabu (1 Wafalme 21:1-26)┬а
4. Kuna Watumishi wa┬аGod Bado Wamebaki Kwenye Hii Dunia (1 Wafalme 22:1-40)┬а
5. Ni Lazima Wakristo sasa Wageuke na Kuamini Injili ya Maji na Roho (1 Wafalme 22:51-53)┬а
6. Ni Viongozi Gani wa Kikristo Ambao hutumikia Miungu Tu? (2 Wafalme 5:1-27)┬а
7. Kwa Mda Huu Ujao, Utafahamu Wokovu wa Kweli ni Nini (2 Wafalme 7:1-20)┬а
8. Ni Akina nani Manabii wa Uongo Ndani ya Ukristo wa Leo? (Mathayo 7:15-27)┬а
9. Hebu na Tuwaongoze Katika Kweli, Wapotoshaji Ambao Hawaamini Kwamba Yesu Ndiye Kristo! (1 Yohana 5:1-12)┬а
10. Usikatishe Maisha ya Waliozaliwa Mara ya Pili (Mwanzo 9:1-7)┬а
11. Je! Tunapaswa Kufanya nini Ili Kuepuka Kuabudu Sanamu Kama Sulemani Alivyoabudu Sanamu Badala ya┬аGod? (1 Wafalme 9:1-9)┬а
12. Kuna Wawindaji Hodari Ambao Lengo ni Nafsi za Wanadamu (Mwanzo 10:1-14)┬а
13. Wazao wa Hamu, Wawindaji Hodari wa Nafsi (Mwanzo 10:1-32)┬а
14. Somo la Mnara wa Babeli (Mwanzo 11:1-9)┬а
15. Ni Lazima Uishi Imani yako kwa Imani Thabiti Kama Jiwe na Chokaa (Mwanzo 11:1-9)┬а
┬а
┬а
Katika Biblia, watu wa Israeli wanadai kumwabudu┬аGod, lakini mwishowe, wakimfuata Yeroboamu, walikuwa wanaabudu ndama wa dhahabu. Kwa kweli, zaidi ya 2/3 ya historia ya Waisraeli ilikuwa historia ya ya kuabudu ndama wa dhahabu, wakidhani kuwa ni┬аGod, Mwishowe, hata sasa, wanaendelea kuishi bila kutambua ukweli kwamba Yesu Kristo, ambaye amekuja kwa injili ya maji na roho, ndiye Mwokozi wao wa kweli. Licha ya hayo yote, kuna Wayahudi wengi ambao wanangojea Mwokozi wao, hata sasa.
Basi, imani yako wewe ambaye unadai kuwa unashiriki katika Ukristo katika enzi hii ya Agano jipya ikoje? Je! kwa sasa unamwamini na kumfuata┬аGod kwa ufahamu sahihi juu yake? Ikiwa sivyo, je! Labda hauabudu ndama wa dhahabu na kutokuelewa kwako kama┬аGod? Ikiwa uko hivyo, basi lazima itambue ukweli kwamba unaabudu sanamu mbele za┬аGod kama watu wa Israeli. Halafu, lazima urudi nyuma na kukutana na Bwana ambaye amekuja kwa injili ya maji na Roho. Nina hakika kwamba utaweza kuamini ukweli wa injili wakati utakapogundua kweli mbele za┬аGod ukweli wa wokovu katika injili ya maji na Roho ni nini, sivyo?
Napenda kushuhudia mbele zako yako imani ya kweli na ukweli chini ya kichwa, тАЬwapotofu, wanaofuata dhambi ya YeroboamuтАЭ Kwa njia zote, natumai utakuwa mtu wa imani sawa na yangu.
рдЕрдзрд┐рдХ

рдЗрд╕ рд╢реАрд░реНрд╖рдХ рд╕реЗ рд╕рдВрдмрдВрдзрд┐рдд рдкреБрд╕реНрддрдХреЗрдВ

The New Life Mission

рд╣рдорд╛рд░реЗ рд╕рд░реНрд╡реЗрдХреНрд╖рдг рдореЗрдВ рднрд╛рдЧ рд▓реЗрдВ

рдЖрдк рд╣рдорд╛рд░реЗ рдмрд╛рд░реЗ рдореЗрдВ рдХреИрд╕реЗ рдЬрд╛рдиреЗ?